tudumishe amani kupitia mradi wa elimu
soma leo kudumisha amani ya kesho

muhtasari wa mradi
kuhusu mradi
The Tudumishe Amani Kupitia Elimu (Cherish Peace Through Education) project is a core initiative by TASA, implemented under the broader Kwapamoja Tudumishe Amani mpango unalenga kuitumia elimu kama nyenzo makini na yenye nguvu katika kuchochea mabadiliko ya kijamii kutatua migororo na kukuza na ku;lea maadili ya amani Tanzania
Walengwa ni kina nani
mpango huu muhimu unalenga katika wanafunzi wa shule za sekondari, walimu na viongozi katika manispaa ya mtwara katika kata ya madimba na ziwani. kwa kuanzisha klabu za kujenga amani, mradi huu unaiwezesha kwa vitendo jamii ya shule kwa kuwapatia ujuzi muhimu wa uongozi na utatuzi wa migogoro
kwanini mradi huu?
mradi huu ni mahususi katika kutatua changamoto endelevu mashuleni na katika jamii kama vile uonevu, ukatili wa kijinsia na ubaguzilengo lake ni kukuza utamaduni wa uvumilivu, kuheshimiana na mawasiliano yasiyo na vurugu, hivyo kuinua kizazi kipya cha mawakala wa amani.
Miradi mingine

Tanzania ya Kijani
Uhifadhi wa Mazingira

Amani Yetu Maendeleo Yetu
Mradi Wa Kujenga Amani

Sauti Moja Amani Yetu
Mradi wa Kujenga Amani

Beach Cleanup
Utunzaji Wa Mazingira

Hedhi Salama
Miradi Ya Kijinsia

Youth In Decision
Mradi Wa Haki Za Binadamu
